6/19/2004

Adamu na Hawa

Kama Adamu na Hawa walikuwa na watoto wa kiume wawili (Kaini na Abeli), je watoto wa Kaini na Abeli walitoka wapi? Jibu ninalo, ila nakupa changamoto kidogo. Na je tunda la katikati ni lipi? Wengine wanadai kuwa ni tendo la ndoa. Mimi napinga. Hawa alikula kwanza mwenyewe hilo tunda kisha ndio akamshawishi Adamu ajaribu. Adamu naye akala mwenyewe. Je ni tendo la ndoa? Kama sio, ni tunda gani? Changamoto nyingine ya jumamosi ya leo ambayo ni siku ya sabato ya wayahudi.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com