6/13/2004

Iraki

Hakuna kiongozi yeyote hapa Marekani anayetaka kuzungumzia idadi ya wananchi wasio na hatia ambao wameshauawa hadi hivi sasa katika uvamizi wa kizandiki uliofanywa na serikali ya kidikteta ya george bush. Marekani inakwenda Iraki kutafuta silaha za sumu wakati nchi hii ina silaha za sumu ambazo zinaweza kuua dunia nyingine 100 kama hii tunayoishi!

Hivi Bush ataiba tena kura mwaka huu? Kuna kipindi kwenye luninga leo alfajiri ambacho kitakuwa na wataalamu watakaojadili jinsi Busha alivyoiba kura. Kaiba kura Marekani na sasa anaiba mafuta na rasilimali za Wairaki.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com