6/13/2004


Majira ya baridi ya mwaka 2002. Siku ya kwanza kuteleza kwenye theluji. Mchezo mtamu sana huu. Tena unanikumbusha enzi za utoto nilivyokuwa najitelezesha barabarani wakati wa mvua. Kulikuwa na raha yake. Tofauti ya wakati ule na sasa ni kuwa utelezi wa kule Moshi ulikuwa sio kwenye theluji bali kwenye udongo. Na sikuwa na mavazi rasmi. Nilikuwa nikitumia kisigino kuteleza!!!!!! Posted by Hello

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com