6/13/2004

NINASOMA NINI HIVI SASA?

Ninaendelea kusoma kitabu kiitacho Smart Mobs: The Next Social Revolution. Mwandishi wa kitabu hiki, Howard Rheingold, ni kati ya watu wanaoamini kuwa zana mpya za mawasiliano kama vile mtandao wa kompyuta ni zana zinazoweza kutumiwa kuleta mabadiliko makubwa ya kijamii, kitamaduni, na kisiasa. Unaweza kufuatilia habari za "smart mob" au "flashmob" hapa: www.smartmobs.com

Kitabu hiki, kwa mfano, kinatukumbusha kuwa serikali ya Ufilipino iliangushwa kwa matumizi ya simu za mkono kutumiana ujumbe wa maneno (SMS.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com