6/13/2004

pasi na ikulu

Mwalimu mmoja wa chuo kimoja hapa Marekani kakutana nami jana. Akaniuliza, "Eti nasikia pasi imeanguka ikulu ya Tanzania na kusababisha moto. Karibu ikulu iteketee." Kisha akafumba macho na kusema, "Kweli Afrika kuna kazi nzito mbele yenu ninyi vijana."

Hili suala la ikulu kuungua sijalifuatilia kwa karibu. Sijui kama ni kweli moto ulisababishwa na pasi. Sitashangaa. Ninachoshangaa ni kuwa moto haukuteketeza ikulu maana zimamoto nchini wanafahamika kwa kwenda eneo la tukio bila maji!Wanakwenda kutazama kwanza kama kweli kuna nyumba inaungua kisha wanaondoaka kwenda kutafuta maji.

Ah, naambiwa wanafanya hivyo wanapokwenda nyumba za masikini....

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com