6/13/2004

reagan

Toka aliyekuwa rais wa Marekani, Ronald Reagan, afariki redio za kihafidhina zinapiga kelele kweli. Wanadai kuwa dunia haijawahi kuwa na rais na mtu muungwana na mcha mungu kama huyu.

Jamani, jamani, jamani! Nitaandika kirefu kwenye makala yangu gazeti la Mwananchi kila jumapili juu ya Reagan.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com