6/15/2004

Ujambazi na maendeleo

Utashangaa kuwa Tanzania "inavyozidi kuendelea" ndivyo ambavyo ujambazi wa kutumia silaha utakavyokuwa ukiongezeka. Lazima basi kuna tatizo katika tafsiri yetu ya maendeleo. Tazama Afrika Kusini. Hii ndio nchi pengine ya kwanza kwa uchumi wenye nguvu na "maendeleo" barani Afrika lakini ndio nchi inayoongoza kwa uhalifu, mauaji, ubakaji, na wingi wa nyumba za maboksi!

Wezi tunawaua au kuwakata mikono kama gazeti linavyosema SOMA HAPA! Wezi wa shilingi 1000 pale Manzese tunawau. Wanaotuibia mamilioni na mali asili ya nchi tunawafanya nini?

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com