6/14/2004

Umedanganywa

Hivi majuzi nilisema kuwa kuanzia sasa nitakuwa naongelea juu ya ukombozi wa akili hadi mnichoke. Mwanzo wa kufanikiwa katika jambo lolote kama taifa, kama waafrika, kama nchi masikini, ni kujikomboa toka utumwa wa kimawazo.

Narudia maneno haya niliyasema juzi: Umekuwa ukidanganywa toka uzaliwe. Mababu zako walidanganywa. Wazazi wako walidanganywa. Wewe nawe umedanganywa. Wanao utawadanganya. Dunia nzima imejaa uongo mtupu

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com