6/13/2004

upepe mkali usiku wa leo

Kuna mvua na upepo mkali vinakuja. Naona itabidi nilale sebuleni leo maana kuna mti mmoja mkubwa nje ya dirisha la chumba cha kulala. Kimbunga kinachokuja wanasema kinavunja miti. Silali chumbani ng’o.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com