7/05/2004

Mapinduzi ya Zanzibar eti ni Uhaini!

Leo nilikuwa natembelea tovuti (website) mbalimbali. Mara nikakumbana na hii tovuti ya huyu bwana anayedai kuwa mapinduzi ya Zanzibar yalikuwa ni uhaini. Na kuwa yote tunayoelezwa juu ya unyama wa utawala wa Waarabu katika kisiwa hiki cha marashi ya karafuu (hivi timu ya KMKM bado iko?) ni uongo mtupu. Habari utaipata ukibonyeza HAPA.

1 Maoni Yako:

At 7/06/2004 08:09:00 AM, Anonymous Anonymous said...

mbona kuna kazi? Ngoja nirudie tena kumsoma huyu bwana. Ila kiswahili chake vipi?

 

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com