8/18/2004

Ngugi Akaribishwa Nai-robbery!

Baada ya kuishi ukimbizini kwa miaka 22, mwandishi na mwanaharakati wa lugha za kiafrika, Ngugi wa Thiong'o amerudi nyumbani Kenya na kukaribishwa na ukweli wa hali halisi ya maisha ya jijini Nairobi, ambayo wengine wanaita Nairobbery. Soma habari za "ukaribisho" huo kwa kubonyeza hapa.

1 Maoni Yako:

At 8/23/2004 11:32:00 AM, Anonymous Anonymous said...

Ndio africa yetu hiyo ndugu macha.

 

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com