10/21/2004

BLOGU YA MTANZANIA

Mfanyakazi wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo, Simon Mkina, ameingia kwenye ulimwengu wa blogu. Hadi hivi sasa Wakenya ndio wako mstari wa mbele katika matumizi ya zana hii mpya ya mawasiliano. Blogu za Wakenya ni za Kiingereza. Siku zinavyokwenda nina imani kuwa Watanzania wengi zaidi wataingia kwenye ulimwengu huu wa blogu ambao tunapashana habari na kuelimishana kwa njia rahisi na haraka. Kongoli hapa uone blogu ya Mkina.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com