10/13/2004

IRANI, MAREKANI, NA NYUKLIA

Wakati Irani imezungukwa na nchi zenye silaha za nyuklia (Pakistan, India, Israel, China, n.k.) Marekani imetishia kutumia nguvu kama nchi hiyo itaendelea na mpango wake wa kutengeneza nyuklia. Hivi Wairani wenyewe wanasemaje juu ya nchi yao kutengeneza nyuklia? Bonyeza hapa uone mawazo ya wenyewe wenye nchi.


0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com