10/12/2004

MREMA, MIWAYA, NA DIGRII

Augustino Lyatonga Mrema, mwenyekiti wa Tanzania Labour Party, amedai kuwa hana ngoma na kuwa maprofesa hapa Marekani walimzimia fegi na kubloo mapigo kwa jinsi alivyowashushia nondo. Habari kamili iko gazeti la Alasiri. Bonyeza hapa uisome. Mimi imeniacha hoi kwa kucheka.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com