10/16/2004

MUZIKI WA TANZANIA WAVAMIA KENYA

Unakumbuka jinsi michezo ya kuchekesha ya Kenya ilivyokuwa inawamaliza Watanzania? Sasa naona tumerudisha goli kwa bongoflava/hip hop. Kuna habari hii kwenye gazeti la Daily Nation. Iliandikwa mwaka jana, ila kwa taarifa nilizonazo bado muziki wa Tanzania unawazengua Wakenya hadi hivi sasa. Bonyeza hapa usome habari kamili.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com