10/21/2004

NILIPOKWENDA MAHAKAMANI

Nimekuwa na pilikapilika za hapa na pale. Kwa siku mbili hivi sikuwepo hapa ndani ya blogu. Baadaye leo nitaendelea na kile kisa cha kusimamishwa na polisi kwa madai ya kutokutii taa nyekundu na kutokufunga mkanda. Tarehe 18 nilikwenda mahakamani saa saba mchana. Nitakueleza nini kilitokea. Sasa hivi ninakwenda kwenye maandamano dhidi ya mgombea mwenza wa Bush, mwizi na muongo aitwaye Dick Cheney. Kwahiyo tutaonana hapo baadaye.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com