10/30/2004

SOMA MAKALA MPYA MBILI

Nimeweka makala mpya mbili kwenye kona ya makala zangu ambayo iko mkono wa kuume chini ya picha yangu. Makala hizi ni Dini na Utu (sehemu ya kwanza na ya pili). Kwahiyo ni vyema ukaanza kusoma namba moja kisha namba mbili. Makala hizi niliziandika kwa ajili ya safu yangu kwenye gazeti la Mwananchi, Gumzo la Wiki, kila jumapili. Karibu uzisome.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com