11/16/2004

HATIMAYE...MAKALA YA URASTA!

Hamadi! Nimeipata ile disketa iliyokuwa imehifadhi makala juu ya Urastafari iliyokuwa imeuliziwa na wengi. Makala hii ambayo ilitoka kwenye safu yangu ya gazeti la Mwananchi, nchini Tanzania, iko katika sehemu tatu. Hii ni sehemu ya Kwanza. Basi nenda kwenye kona ya makala zangu, upande wa kuume, chini ya picha yangu, bonyeza juu ya kichwa cha habari cha makala yenyewe. Inaitwa: RASTAFARI: JIWE WALILOLIKATAA WAASHI...

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com