11/26/2004

KAMUSI YA KISWAHILI

Ukitaka unaweza kushiriki katika mradi wa chuo kikuu cha Yale wa kuandika kamusi ya Kiswahili. Mradi huu unahusisha watu toka pande nne za dunia (dunia ni kweli ina pande nne??). Mtu yeyote anaweza kuweka neno, kuhariri, kusahihisha, n,k. Ni kamusi ambayo inaandikwa na kila mtu. Kamusi yenyewe iko hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com