11/19/2004

MAKALA IKO NJIANI

Nimeandika makala ya safu yangu ya wiki hii katika gazeti la Mwananchi iitwayo: JOJI KICHAKA NA YESU MNAZARETI. Ninajaribu kutazama madai kuwa Joji Kichaka ni mlokole na kuwa ni mwakilishi wa Yesu hapa Marekani. Madai haya hutolewa na Wakristo wakihafidhina ambao walimpigia kura kwa wingi kwakuwa eti analinda maadili ya Kikristo. Makala hii itakapotoka tu kule Tanzania, nitaiweka hapa. Kwa sasa siwezi kuiweka maana bado haijachapwa. Kumbuka subira yavuta heri. Subiri.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com