11/13/2004

SOMA HADITHI NA VISA TOKA KWANGU

Jana niliweka safu ya mashairi yangu. Kumbuka kuwa bado ninaipanua. Leo nimeweka safu ya hadithi, visa, hisia, mikasa, na uzushi toka kwangu. Kona ya Ushairi inaiywa: AYA JUU YA AYA. Kona ya hadithi, mikasa, n.k. inaitwa: MAMBO YA NYAKATI. Nenda upande wa kuume chini ya picha yangu kisha ukongoli upate kusoma.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com