12/22/2004

CUBA YAJIBU MAPIGO YA MARIKANI

Mzozo unaotokana na Marikani kuweka mapambo ya krisimasi na nambari 75 (inayowakilisha wafungwa 75 wa kisiasa nchini Cuba) nje ya ofisi zake mjini Havana unazidi kunoga. Cuba imejibu mapigo. Jionee kwa macho yako.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com