12/22/2004

DAUDI NA GOLIATI?

Mwaka mmoja na miezi saba iliyopita Joji Dabliyuu Kichaka alitangaza kuwa vita ya "kuwakomboa" Wairaki imemalizika. Kwa "mahesabu" ya jeshi la Marikani linalodaiwa kuwa ndio namba moja duniani kwa uwezo wa kivita, mwezi Aprili mwaka jana vita vilikuwa viishe, na mwezi huu majeshi hayo yalikuwa yaondoke na kuwaachia Wairaki nchi yao ili "wajitawale" wenyewe. Lakini matokeo yake (yaani ya "vita kuisha" na majeshi ya Marikani kuondoka baada ya ushindi) ndio haya hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com