12/15/2004

IKULU NAYO....

Ikulu nayo imelowana maji ya "uzima" toka kwa mabeberu. Bila kiingereza Watanzania tunaona kama vile hakifanyiki kitu. Hii ni tovuti ya ikulu ya Watanzania. Lugha wanayotumia wamesafiri hadi Ulaya kuazima....Ikulu ina kijarida chake, nacho sijui wanamwandikia Tony Blair na malikia Lizabeti au wanamwandikia Siwema, Mponjoli, Nyundo, Magire, n.k. Hivi ninakerwa peke yangu au kuna wengine? Isije ikawa ni mimi mwenyewe.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com