12/09/2004

MRUDISHO NYUMA WA "STELA YUKO WAPI?"

Mmoja wa wasomaji wa blogu hii kanikumbusha kasheshe iliyoambatana na kitabu cha Rosa Mistika. Simtaji jina. Kanikumbusha mbali. Haya ndio maneno yake:
"Maana ni kati ya Vitabu (yaani Rosa Mistika) vilivyokuwepo Nyumbani kwetu na nilipotaka kukisoma kile kitabu kilipotea katika mazingira ya utatanishi mpaka leo.Yaani dada wakubwa na kaka walikataza nisisome."
***************** ************************
Ndugu yangu, umenikumbusha mbali kweli. Nadhani vitabu vya David Mailu kama After 4:30 navyo vilitoweka "kinamna." Kaka na dada wakubwa walitaka kusoma wenyewe!

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com