1/14/2005

BIASHARA YA SILAHA

Vita kila mahala. Vita mashariki, vita magharibi...Vita kule, vita huku. Vita na uvumi wa vita. Vita. Vita. Vita. Taifa laondoka kupigana na taifa jingine. Watu wanyanyuka kuuana wenyewe kwa wenyewe.

Hivi silaha hutoka wapi? Hivi mabwana wa vita wanapata wapi silaha? Jielimishe kwa kwenda hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com