1/27/2005

BLOGU MPYA YA MTANZANIA ALIYEKO UGANDA

Ndio kunakucha katika ulimwengu wa blogu za Kiswahili. Kuna mwanablogu mpya wa Kiswahili. Huyu ni Innocent Kessy, Mtanzania aliyeko masomoni nchini Uganda. Mtembelee katika blogu yake ya Dira Yangu hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com