1/03/2005

CHAGUA: UTAMWOKOA MTOTO YUPI?

Sijui kama mnafuatili visa vya waliokoka janga la tetemeko hili la chini ya ardhi. Mama huyu alikuwa njia panda. Alikuwa na uwezo wa kuokoa mtoto mmoja. Naye alikuwa na watoto wawili. Amwokoe yupi na yupi amwache achukuliwe na maji? Kisa kizima hiki.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com