1/15/2005

MIUNGU YA DUNIANI

Makampuni makubwa ya kibepari yamekuwa ndio miungu midogo ya duniani. Tunaishi kwenye dunia ambayo makampuni binafsi yamekuwa na nguvu na utajiri kuliko hata sirikali. Sirikali nyingi duniani hivi sasa zinafuata matakwa ya makampuni haya badala ya sauti ya umma. Tunaona jinsi yanavyonununua nchi kama mtu unavyonunua shamba. Tanzania nayo mnada wake unaelekea ukingoni sasa kama mnada wa nchi nyingine za Afrika. Kali zaidi ni hii ya makampuni haya kufikia hatua ya kumiliki hata mbegu! Kongoli hapa ujionee mwenyewe. Ewe mkulima, kaa chonjo!

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com