1/25/2005

SUMAYE ANASHANGAA MIJINAUME...

Nenda kwenye blogu ya Furahia Maisha Yako. Kuna habari ya Sumaye kushangaa mijinaume inayopenda ngono kiasi ambacho inatoa machozi kabisa, na hata kutumia maelfu kwa ajili ya vitanda katika hoteli za kifahari lakini shilingi 100 ya kondomu hawatoi!
Ukifika hapo usiache kusoma sheria za kuvaa suti. Nimecheka kwa sauti, nadhani majirani wamepata mshtuko. Mwanablogu huyu alinichekesha wakati ule alipoandika sifa za uswahili.


0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com