2/19/2005

HISTORIA YETU: MICHORO YA KWENYE MIAMBA

Bara la Afrika limejaaliwa kwa michoro ya kwenye miamba. Mwezi wa pili mwaka jana, katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa (umoja ambao mwanamuziki Fela Kuti alikuwa akiuita Dis-United United Nations!), Koffi Annan, alizungumzia umuhimu wa michoro ya kwenye miamba barani Afrika ambayo ni urithi wa dunia. Ukienda hapa naweza kuona baadhi ya michoro hii iliyosambaa katika nchi mbalimbali za Afrika. Kongoli juu ya majina ya nchi zinakotoka picha hizo ili uweze kuona picha kubwa zaidi. Moja ya fundisho tunalopata kutokana na michoro hii ni ufundi wa hali ya juu ya kisanii waliokuwa nao waliotutangulia.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com