2/14/2005

JE UNAJUA?

Unajua kuwa wauza maua wamepigwa marufuku kuuza maua mekundu ya siku ya Valentino huko Saudi Arabia?
Unafahamu pia kuwa Saudi Arabia ilikuwa na uchaguzi wa mitaa wa kwanza hivi majuzi? Katika uchaguzi huo wapiga kura na wapigiwa kura walikuwa ni wanaume tu. Wanawake hawakuruhusiwa kugombea au kupiga kura!

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com