2/23/2005

KILICHOMTIA PADRI KARUGENDO MATATANI NA KANISA KATOLIKI

Nimeweka mada kuhusu Ukimwi aliyoandika Padr Karugendo kwa ajili ya mkutano wa kitaifa wa Ukimwi mjini Arusha mwaka 2002. Aliyoandika humu ndio moja ya chanzo cha kanisa lisilopenda mabadiliko hata kidogo, kanisa katoliki la kirumi (roman catholic) (ambalo sijui linafanya nini Afrika!), kumfukuza kazi. Nenda kwenye kona ya Padri huyu mchambuzi, na mpenda mabadiliko anayesumbua akili za maaskofu wa dini zote Tanzania na viongozi wa sirikali, inayoitwa Kalamu ya Padri Karugendo. Mada yake hiyo ya Ukimwi inaitwa: CHANGE THE WORLD BY CHANGING ME.

Nitaendelea kutoa maandiko yake ambayo yamemtia hatatani na uongozi wa kanisa hili la katoliki. Na pia kutakuwa na habari za kina kuhusu mgogoro wake na kanisa hili linalomtaka aache kutii dhamira yake na kuendeleza uongo na unafiki kwa jina la mungu.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com