2/14/2005

KITABU CHA 'DARK SIDE OF MWALIMU'

Rafiki yangu, 'Binti Mtandao,' kanitumia viunganishi vya kitabu alichonitajia wiki kadhaa zilizopita. Kitabu hiki kinaitwa The Dark Side of Mwalimu. Kimeandika na Ludovick Mwijage, mkimbizi wa kisiasa toka Tanzania anayeishi Denmark. Mwijage, ambaye nilikuwa nikimsoma zamani sana kwenye gazeti la Africa Events, alitiwa kizuizini mwaka 1983 hadi 1985.
Kusoma kitabu chake nenda hapa na hapa. Mwijage ameandika kitabu kingine kiitwacho Of Magic and Mutiny. Kinauzwa hapa na kuzungumziwa hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com