2/14/2005

KITABU KIPYA KIZURI SANA TANZANIA

Tafadhali sana. Tena sana. Wasomaji wangu walioko Tanzania, kanunue kitabu kipya kiitwacho PAMBAZUKO GIZANI kilichoandikwa na Karumuna Mboneno. Kama uko Dar Es Salaam, nenda duka la TPH mtaa wa Samora. Kwa mikoani, nitawaeleza baadaye mnakoweza kukipata.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com