2/21/2005

MAKALA MPYA YA PADRI KARUGENDO

Kuna watu walikaribia kunikamata koo kwa kuchelewa kupandisha makala za Padri Privatus Karugendo. Kulikuwa na tatizo kwenye blogu hii ambapo upande wenye makala ulikuwa unatoweka mara tu unapoingia. Sasa kila kitu kimerekebishwa. Nimeweka makala mpya ya Padri Karugendo, inaitwa: YU WAPI DESMOND TUTU WA TANZANIA?
Padri Karugendo anaandika makala zake kwa ajili ya gazeti la Rai nchini kila alhamisi.

Pia makala yangu mpya ambayo ilikuwa haisomeki sasa inasomeka. Nenda kwenye kona yangu uisome. Inaitwa: KAMA UNAPENDA UTAMADUNI MBONA UNAVAA NGUO?

Wale wapenzi wa Freddy Macha nitaweka makala zake mbili baadaye, leo usiku.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com