2/26/2005

MHUBIRI LOUIS FARRAKHAN NI HAPO KESHO (27/2/2005)

Wale waliopanga kumsikiliza mhubiri na kiongozi wa kundi la Taifa la Waislamu, mchungaji Louis Farrakhan, msisahau kuwa ni kesho. Kama unafuatilia kwa njia ya satelaiti, nenda hapa ili ujue utakapokwenda kutazama (kutegemea na ulipo: Marekani, Uingereza, Karibiani, n.k.). Kama ulipo hakuna pa kutazama, hotuba yake itaonyeshwa pia kwa njia ya urushaji matangazo kwa intaneti (webukasiti/webcast). Kongoli hapa na hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com