2/17/2005

TEKNOLOJIA VIJIJINI: AMINI USIAMINI

Amini usiamini. Kijiji cha Lunga, kata ya Lugoba, wilaya ya Bagamoyo, mkoa wa Pwani, kina tovuti! Tovuti yake ndio mfano hasa wa jinsi ambavyo tovuti za bunge, ikulu, ofisi ya mlaji mkuu (au nimwite waziri mkuu nisije shtakiwa), n.k. zilipaswa kuwa...nazungumzia lugha. Kama unaishi ughaibuni na nyanya yako anaishi kijiji cha Lunga, basi unaweza kumtumia barua pepe. Tovuti yao hii hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com