2/26/2005

UKIENDA NCHI ZA WATU FUNGA MDOMO!

Inaelekea kuwa rais wa Botswana, Festus Mogae, anatuambia kuwa ukienda nchi za watu ukaona mabaya yanatendeka usiseme. Kaa kimya. Kongoli hapa uone yaliyompata Profesa wa Chuo Kikuu cha Botswana, Kenneth Good. Soma hapa waliyosema viongozi wa kanisa huko Botswana kuhusu adhabu aliyopewa Profesa Good na rais wa nchi hiyo. Lakini pamoja na kitisho toka kwa serikali ya Mogae, Profesa Good hakufunga mdomo na hivyo kushangiliwa kama shujaa. Kongoli hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com