3/22/2005

MIZIMU YAO ILITOKA WAPI?

Wanasema hatuwezi kupiga hatua kuthaminiwa wala kutambuliwa,
Eti sababu sisi ni watu weusi Eeeh!
Ulimwenguni tumepewa laana,
Usiseme hivyo hebu acha kukufuru,
Kwani aliyetuumba hapendezwi hivyo.
Bob Marley naye Peter Tosh, niambie mizimu yao ilitoka wapi?
Mwalimu Nyerere, Nelson Mandela, niambie mizimu yao ilitokea wapi?
Kwame Nkrumah na Haile Selasie, niambie mizimu yao ilitoka wapi?
Martin Luther King na Marcus Garvey, niambie mizimu yao ilitokea wapi?
Kaza moyo ndugu Eeeh bado safari ni ndefu...
- Marehemu Justin Kalikawa katika wimbo wa Mizimu.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com