5/27/2005

MAHOJIANO KUHUSU BLOGU ZA KENYA REDIO YA OPENS SOURCE

Nimefungua barua pepe toka mviringo wa blogu za Kenya (Kenya Unlimited) kuhusu mahojiano wiki ijayo kuhusu blogu za Kenya kupitia redio ya Open Source. Fuatilia.

Mkutano wa Commons- Sense unaendelea. Asubuhi nilichelewa baada ya kulala saa kumi alfajiri. Basi liliniacha ikabidi niende kwa mshikaji mmoja Mkenya akanileta. Ingawa tulipotea njia niliwahi mduara uliokuwa ukijadili blogu (blogging the commons). Mduara huu nadhani ndio bora katika majadiliano yote toka mkutano uanze. Kama nilivyoahidi nitawapa kwa undani yaliyosemwa na yanayofanyika huku Afrika kuhusiana na blogu na zana nyingine za mawasiliano.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com