5/10/2005

MKUMBOKRASIA!

Idya wa blogu ya Pambazuko kanipa msamiati mpya: Mkumbokrasia. Mkumbokrasia ndicho kimekuwa chakula, maji, na chai ya Watanzania hasa baada ya kuchaguliwa Jakaya Kikwete. Nimekaa kimya, nimesoma yanayotokea Tanzania, nimechambua hoja za wananchi, vijana kwa wazee. Nimeulizwa niseme ninamwonaje Kikwete. Sasa Idya kanipa msukumo wa kukaa chini na kuandika mawazo na mtazamo wangu. Nitatumia msamiati huu wa "mkumbokrasia" kujenga hoja zangu za msingi. Kaa tayari kumeza au kutema vidonge...hiyo itakuwa ni shauri yako. Soma makala mpya za Padri Karugendo na blogu nyingine za Kiswahili wakati ninaandaa jibu kuhusu ninamwonaje Kikwete.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com