6/14/2005

Eti Wametusamehe madeni

Eti wazungu wametusamehe madeni...wametusamehe kivipi wakati sisi ndio tunawadai. Wametuibia miaka mingi. Wameiba sio maliasili tu bali waliiba hadi watu kwa miaka 400 (biashara ya utumwa). Na wanaendelea kutuibia. Sasa wanakuja na mchezo huu wa kuigiza eti wametusamehe madeni, watawala wezi Afrika na wananchi tunashangilia. Hebu nipisheni nipite...

1 Maoni Yako:

At 6/14/2005 01:15:00 PM, Anonymous Anonymous said...

Waafrika tutapelekwa huku na kule kama mbuzi.

 

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com