6/06/2005

HATA DAKITARI AKIKUANDIKIA DAWA YA KUTUMIA "LILE JANI" UKIKAMWATWA, NDANI!

Mahakama kuu hapa Marekani imekataza matumizi ya jani (au bangi) kwa sababu za kimatibabu. Kesi ilifunguliwa na wagonjwa hawa. Katika uchaguzi wa mwaka jana, kati ya maeneo 20 yaliyokuwa na kipengele kinachohusu ulegezaji wa sheria kuhusu jani, maeneo 17 yalikuwa na kura nyingi zilizounga mkono ulegezaji. Hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com