6/06/2005

MKUTANO WA G8 NCHINI UINGEREZA

Wale wakuu wa nchi tajiri duniani wanakutana Edinburgh tarehe 6-7 mwezi ujao. Kwanza kabisa kuna historia ya mkutano huu ambao kawaida huwa unaandamwa na upinzania wa nguvu kabisa na wanaharakati wanaoamini kuwa mfumo wa kiuchumi na kisiasa unaosukumwa dunia nzima na nchi hizi nane sio bora kwa watu na nchi masikini na pia haujali mantiki ya maendeleo endelevu. Kabla ya kuwa G8 ilikuwa G6. Nenda hapa uone ilivyobadilika. Tazama habari za mkutano wa mwaka huu hapa na pia habari zaidi juu ya G8 kwa ujumla hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com