6/12/2005

Mzee Madibaa kwenye tamasha la 46664 Norway

Mzee Mandela amehudhuria na kuongea katika tamasha kwa ajili ya janga la Ukimwi barani Afrika. Tamasha hilo lenye jina ambayo ndio namba aliyokuwa amepewa Mzee Madiba alipokuwa jela, 4664, liko kule Norway. Hotuba yake pamoja na habari zaidi za kampeni hii ya Mzee wetu nenda hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com