6/13/2005

TANZANIA KATIKA "MSAHAMA" ASILIMIA 100 WA MADENI

Eti wazungu wamefuta "madeni" wanayotudai kwa asilimia 100. Kati ya nchi 18 za Afrika "zilizofutiwa" madeni, Tanzania imo. Madeni hayo ni yale tunayodaiwa na benki ya wazungu ambayo watu huuita Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, na Shirika la Fedha Duniani. Waziri wa Fedha, ndugu Mramba, anasema haya kuhusu kufutiwa madeni hayo. Gazeti la Uhuru linatuambia kuwa eti kufutiwa madeni huko kunatokana na juhudi za Mkapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com