6/07/2005

UANDISHI WA JUMUIYA

Nimewahi kuweka viungo na pia kuzungumzia juu ya aina ya uandishi unaojitokeza kutokana na zana mpya za mawasiliano kama blogu. Uandishi huu una majina mengi: uandishi wa umma, uandishi shirikishi, uandishi wa wananchi, n.k. Inatabiriwa kuwa ifikapo mwaka 2021 asilimia 50 ya habari zitakuwa zikiandikwa na wananchi wa kawaida (na sio waandishi wa habari). Soma kitabu hiki.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com