6/08/2005

WAMEAMUA HADI KUBINAFSISHA MAJI!

Hivi maji katengeneza au kaumba nani? Yanatoka wapi? Dunia ya kesho itakuwa dunia ambayo itakuwa ni rahisi zaidi kwa masikini kugharamia unywaji soda kuliko unywaji maji. Kuna msukumo mkubwa uliojengwa juu ya mantiki ya ubepari na soko wa kubinafsisha maji. Soma hapa kisa cha kampuni iliyonunua maji ya Watanzania. Na barua katika gazeti la Guardian la Uingereza juu ya kisa hicho. Hapa. Ukienda katika jarida hili utapata habari zaidi kuhusu ubinafsishaji wa maji. Tafuta matoleo ya nyuma kwa kuweka maneno haya kwenye kisanduku cha kusaka habari kwenye tovuti yao: Privatisation of Water. Nenda pia hapa na hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com