7/03/2005

Blogu na siasa Tanzania

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeanzisha blogu kwa ajili ya viongozi wake wa kitaifa, nadhani na baadaye itakuwa kwa wanachama wake. Nitakuwa nafuatilia kwa karibu matumizi ya blogu katika siasa hasa kipindi cha uchaguzi.

Hapa Edinburgh ndio tumeamka na tunakaribia kunywa chaia, mpishi ananiambia kuwa chai ya leo inaitwa "full Scottish breakfast." Baada ya hapo tutaingia mitaani. Tafadhali usisahau kutembelea blogu mpya ya Panos ambayo inaendeshwa na waandishi toka Afrika.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com